SASA RASMI MOURINHO KOCHA MPYA MANCHESTER UNITED

Unknown | 11:09 PM | 0 comments

Kwa mujibu wa matandao wa Sky Sports, Jose Mourinho ametangazwa kuwa kocha mpya wa Manchester United.

Tayari ameshasaini mkataba na tayari umeshatumwa kwenda Manchester na vuguvugu la tetesi za kocha huyo kujiunga na United zimekwisha.

Kabla ya mashabiki hawanjaanza kusherekea ujio wa Maurinho kwenye klabu yao, Manchester United walikuwa wanachelewesha kutangaza kama dili tayari limefikiwa.

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments