RATIBA LIGI KUU ENGLAND YA WIKI NZIMA HII HAPA

Unknown | 11:28 AM | 0 comments

 

Ligi kuu England inaingia kwenye patashika kipindi kigumu cha na muhimu mechi kupigwa mfululizo kwa Timu zote kucheza Mechi 3 ndani ya Siku 5 kuanzia Desemba 26, Boksing Dei, hadi Januari Mosi huku Vinara wa Ligi, Liverpool, wakianza kuivaa Man City Desemba 26 huko Etihad na kufuatia safari ya Stamford Bridge kucheza na Chelsea Desemba 29.
Liverpool wapo kileleni, wakiwa na Pointi 36 sawa na Arsenal, ila wao wako juu kwa ubora wa Magoli, lakini kuanzia wao hadi Nafasi ya 5 zinatenganishwa na Pointi 2 tu.

Mabingwa Watetezi, Man United, wao wako Nafasi ya 8 wakiwa Pointi 8 nyuma ya Liverpool.HAPA KILA TIMU KUTAFUTA POINTI KWA BIDII ZAIDI:
ARSENAL
MAN UNITED
CHELSEA
26 Des
W Ham v Arsenal
26 Des
Hull v Man Utd

26 Des
Chelsea v Swansea

29 Des
Newcastle  v Arsenal
28 Des
Norwich v Man Utd

29 Des
Chelsea v Liverpool

1 Jan
Arsenal v Cardiff

1 JAN
Man Utd v Tottenham
1 Jan
S’pton v Chelsea

SOUTHAMPTON
TOTTENHAM
LIVERPOOL
26 Des
Cardiff  v S’ mpton

26 Des
Tottenham v WBA

26 Des
Man City v Liverpool

29 Des
Everton v S’ mpton

29 Des
Tottenham v Stoke

29 Des
Chelsea v Liverpool

1 Jan
S’ mpton  v Chelsea

1 Jan
Man Utd v Tottenham

1 Jan
Liverpool v Hull

MAN CITY
EVERTON
SWANSEA
26 Des
Man City v Liverpool

26Des
Everton v Sunderland

26 Des
Chelsea v Swansea

28 Des
Man City v Palace

29 Des
Everton v S’mpton

28 Des
Villa v Swansea

1 Jan
Swansea v City

1 Jan
Stoke v Everton
1 Jan
Swansea v Man City

Ligi itaendelea tena Desemba 26 wakati Timu zote 20 zitakaposhuka dimbani na kisha kucheza Mechi nyingine Desemba 28 na 29 na pia kutinga tena hapo Januari Mosi kwa Timu zote 20 kucheza.
LIGI KUU KUU ENGLAND
Alhamisi Desemba 26
15:45 Hull V Man United
18:00 Aston Villa V Crystal Palace
18:00 Cardiff V Southampton
18:00 Chelsea V Swansea
18:00 Everton V Sunderland
18:00 Newcastle V Stoke
18:00 Norwich V Fulham
18:00 Tottenham V West Brom
18:00 West Ham V Arsenal
20:30 Man City V Liverpool
Jumamosi Desemba 28
West Ham V West Brom
18:00 Aston Villa V Swansea
18:00 Hull V Fulham
18:00 Man City V Crystal Palace
18:00 Norwich V Man United
20:30 Cardiff V Sunderland
Jumapili Desemba 29
16:30 Everton V Southampton
16:30 Newcastle V Arsenal
19:00 Chelsea V Liverpool
19:00 Tottenham V Stoke
Jumatano Januari 1
15:45 Swansea V Man City
18:00 Arsenal V Cardiff
18:00 Crystal Palace V Norwich
18:00 Fulham V West Ham
18:00 Liverpool V Hull
18:00 Southampton V Chelsea
18:00 Stoke V Everton
18:00 Sunderland V Aston Villa
18:00 West Brom V Newcastle
20:30 Man United V Tottenham

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments