BREAKING NEWSSSS ... KOCHA WA SIMBA AFARIKI DUNIA

Unknown | 11:09 AM | 0 comments



James Kisaka enzi za uhai wake.
Aliyekuwa kocha wa makipa wa Klabu ya Simba, James Kisaka amefariki dunia leo asubuhi katika Hospitali ya Burhan, Dar es Salaam. Kisaka aliyewahi kuwa kipa wa timu hiyo miaka ya nyuma, alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya kichwa, macho na miguu kwa muda mrefu.

MUNGU AIPUMZISHE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments