Wakati zimebaki siku chache kukamilika kwa idadi ya timu zitakazoshiriki Kombe la Dunia nchini Russia, mpira utakaoutumika umejulikana.
Huu ni Telstar 18 evokes ambao ubunifu wake umetokana na ule mpira uliotumika katika Kombe la Dunia mwaka 1970.
Mpira huo aina ya Adidas, zaidi umeangaliwa ule waliotumia magwiji kama Pelé, Gerd Müller, Giacinto Facchetti, Pedro Rocha na Bobby Moore walioshiriki michuano ya mwaka 1970.
Huu ni Telstar 18 evokes ambao ubunifu wake umetokana na ule mpira uliotumika katika Kombe la Dunia mwaka 1970.
Mpira huo aina ya Adidas, zaidi umeangaliwa ule waliotumia magwiji kama Pelé, Gerd Müller, Giacinto Facchetti, Pedro Rocha na Bobby Moore walioshiriki michuano ya mwaka 1970.
England. Cristiano Ronaldo ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa dunia wa Fifa 2017 baada ya kuwapiku wachezaji Lionel Messi na Neymar katika kipengele hicho.
Tuzo hizo zimetolewa Oktoba 23 ambapo mchezaji huyo aliyeambatana na mpenzi wake na mwanae amewashukuru waliompigia kura kwa kuweza kushinda pamoja na mashabiki na wachezaji wenzake.
“Nashukuru wote mlionipigia kura kwa kunifanya nishinde tuzo hii,” amesema Ronaldo.
Mbali na tuzo hiyo Ronaldo ametajwa katika kikosi bora cha mwaka 2017 ambacho kimewajumuisha Messi na Neymar na nyota wengine akiwemo Sergio Ramos, Toni Kroos, Andres Iniesta, na Dani Alves.
Tuzo ya mchezaji bora wa kike wa Fifa 2017 ilienda kwa Lieke Martens ambaye hakuudhuria katika utoaji wa tuzo kutokana na kujiandaa na kujiandaa na mechi ya kufuzu kombe la dunia la wanawake.
Ukumbi ulilipuka kwa shangwe wakati linatangazwa goli bora la mwaka ‘Puskas’ ambapo katika magoli 10 bora mashabiki walisikika wakimtaja nyota wa Arsenal, Olivier Giroud ambaye alitangazwa kama mshindi.
Wengine walioshinda tuzo za Fifa 2017 ni Zinedine Zidane (Kocha bora kwa waume), Sarina Wiegman (kocha bora kwa wanawake) Gianluigi Buffon (Kipa bora), Mashabiki wa Celtic (Kikundi bora), Francis Kone (Mchezo wa kiungwana).
Tuzo hizo zimetolewa Oktoba 23 ambapo mchezaji huyo aliyeambatana na mpenzi wake na mwanae amewashukuru waliompigia kura kwa kuweza kushinda pamoja na mashabiki na wachezaji wenzake.
“Nashukuru wote mlionipigia kura kwa kunifanya nishinde tuzo hii,” amesema Ronaldo.
Mbali na tuzo hiyo Ronaldo ametajwa katika kikosi bora cha mwaka 2017 ambacho kimewajumuisha Messi na Neymar na nyota wengine akiwemo Sergio Ramos, Toni Kroos, Andres Iniesta, na Dani Alves.
Tuzo ya mchezaji bora wa kike wa Fifa 2017 ilienda kwa Lieke Martens ambaye hakuudhuria katika utoaji wa tuzo kutokana na kujiandaa na kujiandaa na mechi ya kufuzu kombe la dunia la wanawake.
Ukumbi ulilipuka kwa shangwe wakati linatangazwa goli bora la mwaka ‘Puskas’ ambapo katika magoli 10 bora mashabiki walisikika wakimtaja nyota wa Arsenal, Olivier Giroud ambaye alitangazwa kama mshindi.
Wengine walioshinda tuzo za Fifa 2017 ni Zinedine Zidane (Kocha bora kwa waume), Sarina Wiegman (kocha bora kwa wanawake) Gianluigi Buffon (Kipa bora), Mashabiki wa Celtic (Kikundi bora), Francis Kone (Mchezo wa kiungwana).
Shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA) limetangaza majina ya makocha kumi watakaowania tuzo ya kocha bora wa mwaka 2017.
Katika kinyang’anyiro cha kuwania tuzo makocha kutoka ligi kuu England (EPL) wameongoza kwa kutajwa kwa majina manne, Ligi kuu ya Hispania (La Liga) Hispania majina matatu, Ligi kuu Ujerumani (Bundesliga) imetoa majina mawili huku Ufaransa na Italia ikitoa jina moja moja.
1- Massimiliano Allegri-Juventus
2- Carlo Ancelotti-Bayern Munich
3- Antonio Conte-Chelsea
4- Luis Enrique-Hispania
5- Pep Guardiola-Manchester City
6- Leonardo Jardim-AS Monaco
7- Joachim Low-Ujerumani
8- José Mourinho-Manchester United
9- Mauricio Pochettino
10- Diego Simeone-Atletico Madrid
11– Tite-Brazil
12- Zinédine Zidane-Real Madrid
Upigaji kura unaanza Agosti 21 na kufungwa Septemba 7 mwaka huu, kura zitapigwa na Makocha wa timu za Taifa, Manahodha, baadhi ya Wawakilishi kutoka vyombo vya Habari mbalimbali vitakavyoteuliwa pamoja na Mashabiki kwa Mujibu wa FIFA.
Katika kinyang’anyiro cha kuwania tuzo makocha kutoka ligi kuu England (EPL) wameongoza kwa kutajwa kwa majina manne, Ligi kuu ya Hispania (La Liga) Hispania majina matatu, Ligi kuu Ujerumani (Bundesliga) imetoa majina mawili huku Ufaransa na Italia ikitoa jina moja moja.
1- Massimiliano Allegri-Juventus
2- Carlo Ancelotti-Bayern Munich
3- Antonio Conte-Chelsea
4- Luis Enrique-Hispania
5- Pep Guardiola-Manchester City
6- Leonardo Jardim-AS Monaco
7- Joachim Low-Ujerumani
8- José Mourinho-Manchester United
9- Mauricio Pochettino
10- Diego Simeone-Atletico Madrid
11– Tite-Brazil
12- Zinédine Zidane-Real Madrid
Upigaji kura unaanza Agosti 21 na kufungwa Septemba 7 mwaka huu, kura zitapigwa na Makocha wa timu za Taifa, Manahodha, baadhi ya Wawakilishi kutoka vyombo vya Habari mbalimbali vitakavyoteuliwa pamoja na Mashabiki kwa Mujibu wa FIFA.
Orodha ya timu 10 zenye thamani ya juu duniani:
1. Dallas Cowboys $4.2bn (£3.26bn) American football
2. New York Yankees $3.7bn (£2.87bn) baseball
3. Manchester United $3.69bn (£2.86bn) football
4. Barcelona $3.64bn (£2.82bn) football
5. Real Madrid $3.58bn (£2.78bn) football
6. New England Patriots $3.4bn (£2.64bn) American football
7. New York Knicks $3.3bn (£2.56bn) basketball
8. New York Giants $3.1bn (£2.4bn) American football
9. San Francisco 49ers $3bn (£2.33bn) American football
10. Los Angeles Lakers $3bn (£2.33bn) basketball
REAL MADRID imesema inaweza kupokea Paundi milioni 350 ambazo ni sasa na Sh. Trilioni 1.3 ili kumruhusu mchezaji wao Cristiano Ronaldo kuondoka klabuni hapo na kujiunga na klabu za Paris Saint-Germain au Manchester United.
Mchezaji mwenye umri wa miaka 32 hana furaha ya kuweko kwake na klabu hiyo ya Bernabeu kutokana na kutoungwa mkono katika mapambano yake na mamlaka za kodi za Hispania, pia kile anachoona kutotendewa haki na vyombo vya habari na kuzomewa kwa mara kwa mara ambako amekuwa akifanyiwa na mashabiki wa Real Madrid.
Hata hivyo, alisaini mkataba mpya wa miaka mitano na mabingwa hao mnamo Novemba mwaka jana ambapo mshahara wake kwa wiki ni Pauni 350,000, ambayo ni sawa na Sh. Bilioni 1.
Dau la kuuzwa kwake limepangwa kuwa ni Pauni 870, kiwango ambacho hakuna klabu yoyote inayoweza kulitoa, zikiwemo za China. Hata hivyo, Rais wa Real Madrid, Florentino Perez, amesema klabu yake inaweza kuchukua Pauni milioni 350 ili kumuuza Ronaldo.
Baada ya msimu uliopita Chelsea kubeba taji la ligi kuu nchini Uingereza, leo ratiba mpya imetoka ya msimu ujao wa ligi huku Tottenham waliokuwa wapinzani wakubwa wa Chelsea msimu uliopita watakutana mwanzoni tu wa ligi.
2/08/2017 15:00 Chelsea v Burnley
19/08/2017 15:00 Tottenham Hotspur v Chelsea
26/08/2017 15:00 Chelsea v Everton
09/09/2017 15:00 Leicester City v Chelsea
16/09/2017 15:00 Chelsea v Arsenal
23/09/2017 15:00 Stoke City v Chelsea
30/09/2017 15:00 Chelsea v Manchester City
14/10/2017 15:00 Crystal Palace v Chelsea
21/10/2017 15:00 Chelsea v Watford
28/10/2017 15:00 Bournemouth v Chelsea
04/11/2017 15:00 Chelsea v Manchester United
18/11/2017 15:00 West Bromwich Albion v Chelsea
25/11/2017 15:00 Liverpool v Chelsea
29/11/2017 19:45 Chelsea v Swansea City
02/12/2017 15:00 Chelsea v Newcastle United
09/12/2017 15:00 West Ham United v Chelsea
12/12/2017 19:45 Huddersfield Town v Chelsea
16/12/2017 15:00 Chelsea v Southampton
23/12/2017 15:00 Everton v Chelsea
26/12/2017 15:00 Chelsea v Brighton and Hove Albion
30/12/2017 15:00 Chelsea v Stoke City
01/01/2018 15:00 Arsenal v Chelsea
13/01/2018 15:00 Chelsea v Leicester City
20/01/2018 15:00 Brighton and Hove Albion v Chelsea
31/01/2018 19:45 Chelsea v Bournemouth
03/02/2018 15:00 Watford v Chelsea
10/02/2018 15:00 Chelsea v West Bromwich Albion
24/02/2018 15:00 Manchester United v Chelsea
03/03/2018 15:00 Manchester City v Chelsea
10/03/2018 15:00 Chelsea v Crystal Palace
17/03/2018 15:00 Burnley v Chelsea
31/03/2018 15:00 Chelsea v Tottenham Hotspur
07/04/2018 15:00 Chelsea v West Ham United
14/04/2018 15:00 Southampton v Chelsea
21/04/2018 15:00 Chelsea v Huddersfield Town
28/04/2018 15:00 Swansea City v Chelsea
05/05/2018 15:00 Chelsea v Liverpool
13/05/2018 15:00 Newcastle United v Chelsea
2/08/2017 15:00 Chelsea v Burnley
19/08/2017 15:00 Tottenham Hotspur v Chelsea
26/08/2017 15:00 Chelsea v Everton
09/09/2017 15:00 Leicester City v Chelsea
16/09/2017 15:00 Chelsea v Arsenal
23/09/2017 15:00 Stoke City v Chelsea
30/09/2017 15:00 Chelsea v Manchester City
14/10/2017 15:00 Crystal Palace v Chelsea
21/10/2017 15:00 Chelsea v Watford
28/10/2017 15:00 Bournemouth v Chelsea
04/11/2017 15:00 Chelsea v Manchester United
18/11/2017 15:00 West Bromwich Albion v Chelsea
25/11/2017 15:00 Liverpool v Chelsea
29/11/2017 19:45 Chelsea v Swansea City
02/12/2017 15:00 Chelsea v Newcastle United
09/12/2017 15:00 West Ham United v Chelsea
12/12/2017 19:45 Huddersfield Town v Chelsea
16/12/2017 15:00 Chelsea v Southampton
23/12/2017 15:00 Everton v Chelsea
26/12/2017 15:00 Chelsea v Brighton and Hove Albion
30/12/2017 15:00 Chelsea v Stoke City
01/01/2018 15:00 Arsenal v Chelsea
13/01/2018 15:00 Chelsea v Leicester City
20/01/2018 15:00 Brighton and Hove Albion v Chelsea
31/01/2018 19:45 Chelsea v Bournemouth
03/02/2018 15:00 Watford v Chelsea
10/02/2018 15:00 Chelsea v West Bromwich Albion
24/02/2018 15:00 Manchester United v Chelsea
03/03/2018 15:00 Manchester City v Chelsea
10/03/2018 15:00 Chelsea v Crystal Palace
17/03/2018 15:00 Burnley v Chelsea
31/03/2018 15:00 Chelsea v Tottenham Hotspur
07/04/2018 15:00 Chelsea v West Ham United
14/04/2018 15:00 Southampton v Chelsea
21/04/2018 15:00 Chelsea v Huddersfield Town
28/04/2018 15:00 Swansea City v Chelsea
05/05/2018 15:00 Chelsea v Liverpool
13/05/2018 15:00 Newcastle United v Chelsea
Mashabiki wa Arsenal wamekosa raha kwani ubingwa wa ligi kuu Uingereza umekuwa mgumu sana kwao, baada ya Wenger kupewa mkataba mpya pengine katika msimu ujao wa ligi anaweza kuwapa kikombe, hii ndio ratiba ya Arsenal msimu ujao.
12/08/2017 Leicester City (h)
19/08/2017 Stoke City (a)
26/08/2017 Liverpool (a)
09/09/2017 Bournemouth (h)
16/09/2017 Chelsea (a)
23/09/2017 West Bromwich Albion (h)
30/09/2017 Brighton and Hove Albion (h)
14/10/2017 Watford (a)
21/10/2017 Everton (a)
28/10/2017 Swansea City (h)
04/11/2017 Manchester City (a)
18/11/2017 Tottenham Hotspur (h)
25/11/2017 Burnley (a)
28/11/2017 Huddersfield Town (h)
02/12/2017 Manchester United (h)
09/12/2017 Southampton (a)
12/12/2017 West Ham United (a)
16/12/2017 Newcastle United (h)
23/12/2017 Liverpool (h)
26/12/2017 Crystal Palace (a)
30/12/2017 West Bromwich Albion (a)
01/01/2018 Chelsea (h)
13/01/2018 Bournemouth (a)
20/01/2018 Crystal Palace (h)
30/01/2018 Swansea City (a)
03/02/2018 Everton (h)
10/02/2018 Tottenham Hotspur (a)
24/02/2018 Manchester City (h)
03/03/2018 Brighton and Hove Albion (a)
10/03/2018 Watford (h)
17/03/2018 Leicester City (a)
31/03/2018 Stoke City (h)
07/04/2018 Southampton (h)
14/04/2018 Newcastle United (a)
21/04/2018 West Ham United (h)
28/04/2018 Manchester United (a)
05/05/2018 Burnley (h)
13/05/2018 Huddersfield Town (a)
12/08/2017 Leicester City (h)
19/08/2017 Stoke City (a)
26/08/2017 Liverpool (a)
09/09/2017 Bournemouth (h)
16/09/2017 Chelsea (a)
23/09/2017 West Bromwich Albion (h)
30/09/2017 Brighton and Hove Albion (h)
14/10/2017 Watford (a)
21/10/2017 Everton (a)
28/10/2017 Swansea City (h)
04/11/2017 Manchester City (a)
18/11/2017 Tottenham Hotspur (h)
25/11/2017 Burnley (a)
28/11/2017 Huddersfield Town (h)
02/12/2017 Manchester United (h)
09/12/2017 Southampton (a)
12/12/2017 West Ham United (a)
16/12/2017 Newcastle United (h)
23/12/2017 Liverpool (h)
26/12/2017 Crystal Palace (a)
30/12/2017 West Bromwich Albion (a)
01/01/2018 Chelsea (h)
13/01/2018 Bournemouth (a)
20/01/2018 Crystal Palace (h)
30/01/2018 Swansea City (a)
03/02/2018 Everton (h)
10/02/2018 Tottenham Hotspur (a)
24/02/2018 Manchester City (h)
03/03/2018 Brighton and Hove Albion (a)
10/03/2018 Watford (h)
17/03/2018 Leicester City (a)
31/03/2018 Stoke City (h)
07/04/2018 Southampton (h)
14/04/2018 Newcastle United (a)
21/04/2018 West Ham United (h)
28/04/2018 Manchester United (a)
05/05/2018 Burnley (h)
13/05/2018 Huddersfield Town (a)
Baada ya msimu uliopita kumaliza katika nafasi ya sita, hii ndio ratiba ya Manchester United katika msimu wa ligi wa mwaka 2017/2018 utakaonza tarehe 12/8.
12/08/2017 15:00 Manchester United v West Ham United
19/08/2017 15:00 Swansea City v Manchester United
26/08/2017 15:00 Manchester United v Leicester City
09/09/2017 15:00 Stoke City v Manchester United
16/09/2017 15:00 Manchester United v Everton
23/09/2017 15:00 Southampton v Manchester United
30/09/2017 15:00 Manchester United v Crystal Palace
14/10/2017 15:00 Liverpool v Manchester United
21/10/2017 15:00 Huddersfield Town v Manchester United
28/10/2017 15:00 Manchester United v Tottenham Hotspurs
04/11/2017 15:00 Chelsea v Manchester United
18/11/2017 15:00 Manchester United v Newcastle United
25/11/2017 15:00 Manchester United v Brighton and Hove Albion
28/11/2017 19:45 Watford v Manchester United
02/12/2017 15:00 Arsenal v Manchester United
09/12/2017 15:00 Manchester United v Manchester City
12/12/2017 20:00 Manchester United v Bournemouth
16/12/2017 15:00 West Bromwich Albion v Manchester United
23/12/2017 15:00 Leicester City v Manchester United
26/12/2017 15:00 Manchester United v Burnley
30/12/2017 15:00 Manchester United v Southampton
01/01/2018 15:00 Everton v Manchester United
13/01/2018 15:00 Manchester United v Stoke City
20/01/2018 15:00 Burnley v Manchester United
31/01/2018 20:00 Tottenham Hotspur v Manchester United
03/02/2018 15:00 Manchester United v Huddersfield Town
10/02/2018 15:00 Newcastle United v Manchester United
24/02/2018 15:00 Manchester United v Chelsea
03/03/2018 15:00 Crystal Palace v Manchester United
10/03/2018 15:00 Manchester United v Liverpool
17/03/2018 15:00 West Ham United v Manchester United
31/03/2018 15:00 Manchester United v Swansea City
07/04/2018 15:00 Manchester City v Manchester United
14/04/2018 15:00 Manchester United v West Bromwich Albion
21/04/2018 15:00 Bournemouth v Manchester United
28/04/2018 15:00 Manchester United v Arsenal
05/05/2018 15:00 Brighton and Hove Albion v Manchester United
13/05/2018 15:00 Manchester United v Watford
12/08/2017 15:00 Manchester United v West Ham United
19/08/2017 15:00 Swansea City v Manchester United
26/08/2017 15:00 Manchester United v Leicester City
09/09/2017 15:00 Stoke City v Manchester United
16/09/2017 15:00 Manchester United v Everton
23/09/2017 15:00 Southampton v Manchester United
30/09/2017 15:00 Manchester United v Crystal Palace
14/10/2017 15:00 Liverpool v Manchester United
21/10/2017 15:00 Huddersfield Town v Manchester United
28/10/2017 15:00 Manchester United v Tottenham Hotspurs
04/11/2017 15:00 Chelsea v Manchester United
18/11/2017 15:00 Manchester United v Newcastle United
25/11/2017 15:00 Manchester United v Brighton and Hove Albion
28/11/2017 19:45 Watford v Manchester United
02/12/2017 15:00 Arsenal v Manchester United
09/12/2017 15:00 Manchester United v Manchester City
12/12/2017 20:00 Manchester United v Bournemouth
16/12/2017 15:00 West Bromwich Albion v Manchester United
23/12/2017 15:00 Leicester City v Manchester United
26/12/2017 15:00 Manchester United v Burnley
30/12/2017 15:00 Manchester United v Southampton
01/01/2018 15:00 Everton v Manchester United
13/01/2018 15:00 Manchester United v Stoke City
20/01/2018 15:00 Burnley v Manchester United
31/01/2018 20:00 Tottenham Hotspur v Manchester United
03/02/2018 15:00 Manchester United v Huddersfield Town
10/02/2018 15:00 Newcastle United v Manchester United
24/02/2018 15:00 Manchester United v Chelsea
03/03/2018 15:00 Crystal Palace v Manchester United
10/03/2018 15:00 Manchester United v Liverpool
17/03/2018 15:00 West Ham United v Manchester United
31/03/2018 15:00 Manchester United v Swansea City
07/04/2018 15:00 Manchester City v Manchester United
14/04/2018 15:00 Manchester United v West Bromwich Albion
21/04/2018 15:00 Bournemouth v Manchester United
28/04/2018 15:00 Manchester United v Arsenal
05/05/2018 15:00 Brighton and Hove Albion v Manchester United
13/05/2018 15:00 Manchester United v Watford
Messi ameulizwa kuhusu tofauti yake na Ronaldo ambapo Messi amesema yeye na Ronaldo wako poa tu akini kila mtu anajaribu kupambana ili kuonesha alichonacho uwanjani ila nje ya uwanja hakuna tofauti kati ya nyota hao wawili.
Kuhusu uwezo wa Ronaldo uwanjani Lioneil Messi amesema Ronaldo ni “bora sana” alisema “tunajaribu kufanya kitu bora kwa ajili ya timu zetu kila mwaka lakini kuhusu nje ya uwanja sifikirii sana kama hilo ni muhimu,dunia nzima inajua kuhusu Ronaldo ni mcheza bora na ndio maana ni mmoja kati ya wachezaji bora duniani.”
Lakini pia Messi alizungumzia taarifa za kuongeza mkataba mpya ndani ya Barcelona ambao utaisha mwaka 2021 akisisitiza ya kwamba hana mpango wa kuondoka Nou Camp na anataka kumalizia maisha yake ya soka katika uwanja huo kwani hilo ndiop jambo ambalo amekuwa akiliota kila siku.
Kuhusu uwezo wa Ronaldo uwanjani Lioneil Messi amesema Ronaldo ni “bora sana” alisema “tunajaribu kufanya kitu bora kwa ajili ya timu zetu kila mwaka lakini kuhusu nje ya uwanja sifikirii sana kama hilo ni muhimu,dunia nzima inajua kuhusu Ronaldo ni mcheza bora na ndio maana ni mmoja kati ya wachezaji bora duniani.”
Lakini pia Messi alizungumzia taarifa za kuongeza mkataba mpya ndani ya Barcelona ambao utaisha mwaka 2021 akisisitiza ya kwamba hana mpango wa kuondoka Nou Camp na anataka kumalizia maisha yake ya soka katika uwanja huo kwani hilo ndiop jambo ambalo amekuwa akiliota kila siku.
Mshambuliaji wa Real Madrid, Christiano Ronaldo amethibitisha ubora wake, baada ya kufunga mabao mawili kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi.
Ushindi huo wa mabao 4-1 umemuibua Rais wa Real Madrid, Florentino Perez akisema, Ronaldo ndiye anastahili kupata Tuzo ya Ballon d’Or msimu huu.
Ronaldo amefanikisha Madrid kutimiza ndoto yake ya kutwaa mataji mawili makubwa msimu huu.
Madrid ilicheza mbele ya Juvenus pungufu baada ya mchezaji wake kulimwa kadi nyekundu, huku vijana wa Zinedine Zidane wakipata uchochoro zaidi wa kuziona nyavu.
Kutokana na ubingwa huo, Real Madrid imefikisha mataji mawili baada ya kunyakua ubingwa wa La Liga msimu huu.
Kwa maana hiyo, Perez alisema hakuna sababu ya kumzuia Ronaldo kutwaa tuzo ya Ballon d’Or.
Ushindi huo wa mabao 4-1 umemuibua Rais wa Real Madrid, Florentino Perez akisema, Ronaldo ndiye anastahili kupata Tuzo ya Ballon d’Or msimu huu.
Ronaldo amefanikisha Madrid kutimiza ndoto yake ya kutwaa mataji mawili makubwa msimu huu.
Madrid ilicheza mbele ya Juvenus pungufu baada ya mchezaji wake kulimwa kadi nyekundu, huku vijana wa Zinedine Zidane wakipata uchochoro zaidi wa kuziona nyavu.
Kutokana na ubingwa huo, Real Madrid imefikisha mataji mawili baada ya kunyakua ubingwa wa La Liga msimu huu.
Kwa maana hiyo, Perez alisema hakuna sababu ya kumzuia Ronaldo kutwaa tuzo ya Ballon d’Or.