Hizi ni dalili tatu za Pep Guardiola kuwa ataondoka FC Bayern Munich

Unknown | 9:06 PM | 0 comments


Kocha wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani ambaye amewahi kuifundisha kwa mafanikio klabu ya FC Barcelona ya Hispania Pep Guardiola amekuwa akihusishwa kutakiwa kujiunga na klabu ya Manchester City ya Uingereza kwa muda mrefu sasa ila November 27 ameingia tena katika headlines kuhusiana na mpango huo.
2EC81B8E00000578-3336115-image-a-61_1448617745414
Headlines za kocha huyo kuwa njiani kujiunga na Man City zinapata nguvu kutokana na mkataba wake wa kuifundisha Bayern kuwa utamalizika mwishoni mwa msimu wa 2015/2016 na Man City wameahidi kumlipa kocha huyo zaidi ya mshahara wa pound milioni 13.2 ambao analipwa kocha wa sasa wa Chelsea Jose Mourinho.
g
Hawa ndio makocha wanaoongoza kwa kulipwa mishahara mikubwa duniani na Guardiola anashika nafasi ya tatu.
Dalili tatu za kocha huyo kuwa atajiunga na Man City ni kutokana na kutosaini mkataba mpya na klabu ya FC Bayern, kutotokea katika mkutano na waandishi wa habari November 27 na badala yake kuwakilishwa na beki wake Jerome Boateng na yeye kutajwa kuwa na appointment zake binafsi ndio maana hakutokea na tatu kuahidiwa kuwa atakuwa kocha anayeongoza kwa kulipwa mshahara mkubwa duniani.

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments