Home �
tanzania
� MASHINDANO YA LIGI YA MUUNGANO YA NETBOLI YAMALIZIKA ZANZIBAR.
Unknown |
10:21 PM |
0
comments
Mkuu
wa Wilaya Mjini Unguja Abdi Muhmud Mzee akimkadhi Kombe kepteni wa Timu
ya Mafunzo Elizabeth John mara baada ya kumaliza mchezo wake na
Magereza na kuchukua nafasi ya pili ya ligi ya Muungano iliyofanyika
kiwanja cha Jimkana Mjini Zanzibar jana.

Mkuu
wa Wilaya Mjini Unguja Abdi Muhmud Mzee akimkadhi Kombe kepteni wa Timu
ya JKT Mwanaidi Hasan. Baada ya Timu hiyo kutwaa ubingwa wa Netboll
katika ligi ya Muungano.
Rais
wa Chaneta Bi. Anna Kibira akizungumza na wachezaji mara baada ya
kumaliza kwa ligi ya Muungano iliyofanyika Jimkana Mjini Zanzibar jana.

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Category:
tanzania
0 comments