Man City waja na jezi mpya

Unknown | 6:44 AM | 0 comments

 Manchester City wala hawajataka kuchelewa, mapemaa wameamua kuweka hadharani uzi wao mpya wa msimu wa 2017-18.

Uzi huo kwa vikosi vyote, yaani timu kubwa ya wanaume na wanawake, vijana na zile za watoto sasa uko hadharani.

Uzi waliouanika Man City ni ule wa blue bahari ambao unajulikana kama "Jezi za Nyumbani".


Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments