NEYMAR, SUAREZ WATUPIA NA KUIVUSHA BARCELONA FAINALI KOMBE LA MFALME
Luis Suarez amefunga bao moja huku Neymar
akitupia mawili na kuiwezesha Barcelona kutinga katika fainali ya Kombe la
Mfalme.
Barcelona imeitwanga Villareal kwa mabao 3-1
katika mechi ya pili ya nusu fainali na kushinda kwa jumla ya mabao 6-2.
Category: uingereza
0 comments