NIGER MABINGWA TENA AIRTEL RISING STARS

Unknown | 8:46 AM | 0 comments

 


Na Iwedi Ojinmah,
 
TIMU ya Niger imefanikiwa kutetea Kombe la vijana chini ya umri wa miaka Airtel Rising Stars jana baada ya kuifunga Zambia kwa penalti 7-6.
Kikosi cha  vijana wa Tanzania. Wametolewa katika Nusu Fainali na Zambia.

Pamoja na mvua, kulikuwa kuna watu wengi uwanjani na Niger ilipata bao la mapema la kuongoza, lakini Zambia wakawasazisha zikiwa zimesalia dakika saba. 
Ikumbukwe Niger iliwatoa wenyeji, Nigeria kwa penalti 8-7 wakati Zambia iliitoa Tanzania kwa mabao 4-3 katika Nusu Fainali juzi.

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments