MECHI ZA KAMBA LEO ASUBUHI, RAS KAGERA YAWABURUZA UKAGUZI SHIMIWI DODOMA

Unknown | 5:09 PM | 0 comments

 
 
 
 Kocha wa timu ya Kamba ya Ras Kagera, Adam Juma, akiwahimiza wachezaji wake kuongeza nguvu ili kuwaburuza wapinzani wao, Ukaguzi wakati wa mchezo wao uliochezwa leo asubuhi kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
  Kocha wa timu ya Kamba ya Ras Kagera, Adam Juma, akiwahimiza wachezaji wake kuongeza nguvu ili kuwaburuza wapinzani wao, Ukaguzi wakati wa mchezo wao uliochezwa leo asubuhi kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. Katika mchezo huo Ras Kagera ilishinda baada ya kuwaburuza wapinzani wao mara mbili mfululizo.
 Wavuta kamba wanawake wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakigangamala kuwaburuza wenzao wa Uchukuzi, wakati wa mchezo wao uliochezwa leo asubuhi kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma, katika mashindano ya SHIMIWI. Katika mchexo huo OMR walizidiwa na wenza wa Uchukuzi.
 Ni OMR v/s Uchuku, ilikuwa ni patashika viatu kuvuka hapa...........
 Timu ya wananume ya Kamba ya OMR, ikiwa mzigoni na Uchukuzi, leo asubuhi kwenye uwanja wa Jamhuri. Uchukuzi walishinda.
Patashika ilikuwa kama hivi....
mafoto blog

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments