Huu ndio mpira utakaotumika Kombe la Dunia 2018

Unknown | 8:14 PM | 0 comments

Wakati zimebaki siku chache kukamilika kwa idadi ya timu zitakazoshiriki Kombe la Dunia nchini Russia, mpira utakaoutumika umejulikana.

Huu ni Telstar 18 evokes ambao ubunifu wake umetokana na ule mpira uliotumika katika Kombe la Dunia mwaka 1970.

Mpira huo aina ya Adidas, zaidi umeangaliwa ule waliotumia magwiji kama Pelé, Gerd Müller, Giacinto Facchetti, Pedro Rocha na Bobby Moore walioshiriki michuano ya mwaka 1970.

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments