NEYMAIR AWAPIKU MESSI NA C. RONALDO KIMSHAHARA
Neymar wa Barcelona ndiye anachukua mshahara mkubwa zaidi kwa mwaka mmoja. Nafuatiwa na Messi na hivyo kuifanya Barcelona kuwa inalipa mshahara mkubwa zaidi ikifuatiwa na Madrid.
10 BORA HII HAPA:
- Neymar: euro milioni 56
- Messi: euro milioni 50
- Cristiano: euro milion 47.5
- Ibrahimovic: euro milioni 26.7
- Bale: euro milioni 21.4
- Rooney: euro milioni 16.9
- Luis Suarez: euro milioni 16
- Iniesta: euro milioni 16
- Hazard: euro milioni 16
- Aguero: euro milioni 15.1
HII NI KWA MUJIBU WA GAZETI NAMBA MOJA LA MICHEZO LA HISPANIA LA MARCA
Category: uingereza
0 comments