Home �
uingereza
� HAYAWI HAYAWI HATIMAYE……VAN PERSIE KUPIMA AFYA FENERBAHCE
Unknown |
10:51 PM |
0
comments
Nilikupa
taarifa kwamba Fenerbahce wamekubaliana na Manchester united ili Van
Persie ahamie kwenye club yao. Kilichobaki ilikua ni kwa Van Persie na
yeye ahusishwe kwenye haya mazungumzo.
Kwa
mujibu wa vyanzo vya uhakika, Robin van Persie anajiandaa kufanya vipimo
vya afya leo katika klabu ya Fenerbahce. Kama anafanya vipimo vya afya
maana yake mambo tayari yameshakuwa poa kwa Fenerbahce.
Van
Persie anatimka Manchester United majira haya ya kiangazi na kwenda
kujiunga na miamba hiyo ya Uturuki.Mshambuliaji huyo wa Uholanzi
anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka minne na atapima afya leo mjini
London.
Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Category:
uingereza
0 comments