BRAZIL YAMTEUA DUNGA KUCHUKUA MIKOBA YA LUIZ FELIPE SCOLARI

Unknown | 8:00 AM | 0 comments


Familiar face: Dunga has been re-appointed as the new boss of Brazil replacing Luiz Felipe Scolari
Mtu aliyezoeleka: Dunga ameteuliwa kwa mara ya pili kuwa mirthi wa Luiz Felipe Scolari.
BRAZIL imemtangaza Dunga kwa mara ya pili kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya nchi hiyo baada ya Luis Felipe Scolari kuachishwa kazi kutokana na kipigo cha mabao 7-1 kwenye mechi ya nusu fainali ya kombe la dunia dhidi ya Ujerumani na 3-0 katika mechi ya mshindi wa tatu na Uholanzi.
Tangazo rasmi limetolewa leo jumanne na sasa kocha huyo mwenye miaka 50 anaanza kazi ya kuwanoa Samba Boys.
Kwa mara ya mwisho Dunda aliyewahi kuwa nahodha wa Brazil mwaka 1994, aliifundisha Brazil katika fainali za mwaka 2010 nchini Afrika kusini na alifukuzwa baada ya kushindwa kufuzu zaidi ya robo fainali.
"Kiukweli nina furaha kubwa kurudi tena," aliwaambia waandishi wa habari.
Last time: Dunga led Brazil to the quarter-finals at the 2010 World Cup during his previous spell
Miaka ya nyuma: Dunga aliingoza Brazil mpaka hatua ya robo fainali ya kombe la dunia nchini Afrika kusini.

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments