REAL MADRI WAICHAPA FC BARCELONA NA KUNYAKUA KOMBE LA MFALME
Just champion: Bale posted picture of him with Copa del Rey trophy on his Twitter account

White hot: Bale celebrates his strike in front of the Barcelona fans


Wonder strike: Bale's goal was enough to seal El Clasico victory against Barcelona
![]() |
Mfungaji wa bao la ushindi la Real, Gareth Bale kushoto akishangilia na Alonso kulia |
Mfungaji wa bao la ushindi la Real, Gareth Bale kulia akipiga shuti pembeni ya Dani Alves |
REAL Madrid imetwaa Kombe la Mfalme baada ya kuichapa Barcelona mabao 2-1 usiku huu Uwanja wa Mestalla mjini Valencia, Hispania.
Real walikuwa wa kwanza kupata bao dakika ya 11, mfungaji Angel di Maria akimalizia pasi ya Karim Benzema, lakini Bartra akaisawazishia Barca dakika ya 68 kwa pasi ya Xavi.
Shujaa wa Real hii leo alikuwa na nyota wa Wales, Gareth Bale aliyefunga bao la ushindi dakika ya 85 kwa pasi ya Fabio Coentrao.Mwanasoka bora wa dunia, Cristiano Ronaldo alikuwa nje leo akiendelea kuugulia maumivu yake na aliungana na wenzake kuwapongeza baada ya mechi kwa ushindi huo.
Baada ya kunyakua taji la kwanza msimu huu, Real sasa inaelekeza nguvu zake katika mataji mengine mawili, La Liga na Ligi ya Mabingwa ambako imefika hatua ya Nusu Fainali na itamenyana na mabingwa watetezi, Bayern Munich.
Kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Hispania, Real inachuana na Atletico Madrid walio kileleni na Barca walio nafasi ya tatu.

Mashabiki wa Real Madrid wakisherehekea taji la Copa del Rey Uwanja wa Mestalla

Lionel Messi akilalamika baada ya kipigo cha Barcelona kwa wapinzani wao, Real Madrid mjini Valencia
Ronaldo akitazama mechi leo Mestalla |

Angel di Maria akishangilia baada ya kuifungia bao la kuongoza Real

Bartra akishangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona

Gareth Bale akipiga shuti mbele ya Javier Mascherano
NA BIN ZUBERY


Show it off: Defender Sergio Ramos unfurls a Real Madrid banner as the party gets into full swing in Valencia

That's my boy: Carlo Ancelotti was quick to praise his 'extraordinary' winger immediately after the final

Good replacement: Cristiano Ronaldo congratulates goalscorers Gareth Bale and Angel di Maria

New feeling: Former Tottenham players Bale and Luka Modric pose next to the silverware

Special one? Ancelotti is thrown in the air by the Real players

Get in there! Midfielder Xabi Alonso celebrates as he passes Lionel Messi after Bale's late winner

Cheers! Di Maria netted an early opener for Madrid and was a thorn in the Barca side all night long

Head bowed, down at the floor: Messi cut a forlorn figure after the 2-1 defeat against their arch rivals

Unstoppable: Bale is going someway to paying back the world-record £86m Madrid spent on him in the summer

Running jump: The Madrid players link arms and sprint towards their supporters behind one of the goals

Back home they're happy too: Supporters gather at Plaza Cibeles in the capital to celebrate the victory

Parade that round lads! Ronaldo alongside defenders Fabio Coentrao and Pepe show off the silverware

Give me that! Ronaldo takes firm hold of the Copa del Rey trophy as celebrations continued afterwards

He's my man! Ancelotti shares a moment with Bale after Real went up to collect their deserved trophy

Captain's job: Iker Casillas stepped up to become the first player to get his hands on the giant trophy

Had a bad day: Iniesta reacts after the loss for Barcelona, their third in succession

So close: Marc Bartra is consoled by Carles Puyol

Not a happy man: Bartra was less than complimentary about the performance of the eventual winners

Struggle: Gerardo Martino has overseen Barcelona's worst season for years during his first in charge
Category: uingereza
0 comments