ARSENAL YAKUNG'UTWA 3-0 NA EVERTON ENGLAND

Unknown | 12:30 AM | 0 comments


KWELI ngoma ya kitoto haikeshi. Arsenal imekung'utwa mabao 3-0 na Everton Uwanja wa Goodison Park na kuzidi kujitoa kwenye mbio za ubingwa.
Mabao yaliyoizamisha timu ya Arsene Wenger leo yamefungwa na Steven Naismith, Romelu Lukaku na Mikel Arteta aliyejifunga na sasa The Gunners inafikisha mechi 33 za kucheza, lakini inabaki na pointi zake 64. 
Kiboko yao: Romelu Lukaku amefunga katika ushindi wa Everton wa 3-0 dhidi ya Arsenal leo

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments