YANGA WAPATA AJALI YA BASI MIKESE, MKOANI MOROGORO
![]() |
Basi la Yanga likiwa limeinama upande mmoja baada ya kukwepa basi la abiria. Hakuna aliyeumia na timu imeendelea na safari ya kurejea Dar es Salaam baada ya mkasa huo |
![]() |
Tumepata ajali mzee; Kocha Pluijm kulia akiozungumza na simu na kushoto kwake ni kocha wa makipa, Juma Pondamali |
![]() |
Wachezaji wakitokea madirishani kuokoa maisha yao baada ya kunusurika ajali mbaya asubuhi ya leo Mikese
PICHA ZOTE KWA HISANI YA BLOG YA BIN ZUBEIRY
|
Category: tanzania
0 comments