DROGBA ALIVYOWAFANYA CHELSEA JANA...WE ACHA TU!

Unknown | 9:42 AM | 0 comments


Acrobatic: Drogba attempts an overhead kick with sparring partner Terry watching on
Mshambuliaji wa Galatasaray, Didier Drogba kushoto akipambana na Nahodha wa Chelsea, John Terry katika mchezo wa kwanza 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu, timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Drogba alicheza pamoja na Terry Chelsea kwa muda mrefu
We meet again: Terry slides in on striker Drogba in a Galatasaray attack
Terry akiteleza kuondosha mpira miguuni mwa Drogba 
Leaping up: Terry just manages to head the ball out of his former team-mate's reach
Terry akigombea mpira wa juu na Drogba
Acrobatic: Drogba attempts an overhead kick with sparring partner Terry watching on
Drogba akijiandaa kubinuka tik tak mbele ya Terry
Acrobatic: Drogba attempts an overhead kick with sparring partner Terry watching on

Close control: Drogba shows off his upper body strength with Branislav Ivanovic and Gary Cahill closing down
Drogba akimiliki mpira mbele ya Branislav Ivanovic na Gary Cahill
Head-to-head: A frustrated Drogba meets former team-mate Ramires during the match
Drogba akitaniana na Ramires wakati wa mechi
The final bow: Drogba is substituted by Gala boss Roberto Mancini (right) as the game draws to a close
Drogba alipumzishwa na kocha wa Gala, Roberto Mancini kulia mwishoni mwa mchezo
Brothers in arms: Drogba and Branislav Ivanovic share a moment during the game
Drogba na Branislav Ivanovic wakizungumza wakati mchezo ukiendeleaTussle: Chelsea defender Gary Cahill (left) tries to get the ball from his former team-mate
Drogba akimkokota Gary Cahill
Striking alliance: Drogba (centre) congratulates Fernando Torres after the match
Drogba (katikati) akimpongeza mfungaji wa bao la Chelsea, Fernando Torres baada ya mechi
Respect: Frank Lampard shows his respect to his former Blues mate as they leave the field
Frank Lampard akimpa heshima yake Drogba baada ya mechi
Signs are there: Galatasaray fans hold up a sign in tribute to their former Chelsea striker
Mashabiki wa Galatasaray wakiwa wameshika bango la Drogba

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments