MANCHESTER WAKUBALI KICHAPO TENA
Fabio Borini akishangilia baada ya kuifungia Sunderland bao la pili kwa njia ya penalti kipindi cha pili dakika ya 64.
Nemanja Vidic wa Manchester United akifunga bao la kusawazisha kwa timu yake na kufanya matokeo kuwa 1-1 katika dakika ya 52.
Sunderland wakishangilia bao lao la kwanza alilojifunga Ryan Giggs dakika ya 45.
Fabio Borini wa Sunderland (kulia) na Patrice Evra wakikwaana wakati wa mechi hiyo.Category: uingereza


0 comments