KIGGI MAKASSI KWENDA INDIA KWA AJILI YA MATIBABU YA GOTI

Unknown | 11:12 PM | 0 comments

 



Kiungo wa timu ya Simba, Kiggi Makassi anasafiri leo kwenda nchini India kwa ajili ya matibabu ya goti.

Kiggi ambaye alipata majeruhi katika ligi msimu uliopita, anaondoka leo na ndege ya saa 10:45 jioni kwenda kufanyiwa upasuaji wa goti lake.



Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments