Man United wachapwa na Watford 3 - 1
Hali imezidi kuwa mbaya kwa Manchester United baada ya kupoteza mchezo wake wa 3 mfululizo baada ya kukubali kichapo cha bao 3-1 toka kwa Watford.
Matokeo hayo yameendeleza hali ya Sintofahamu kwa kikosi cha Jose Mourinho baada ya kuonekana si lolote si chochote licha ya pesa nyingi zilizotumika katika usajili ikibaki na pointi zake 9 baada ya michezo mitano.
Category: uingereza



0 comments