Kilimanjaro Queen yatwaa Kombe la Chalenji 2016
Timu ya Taifa ya wanawake ya Tanzania bara maarufu kama Kilimanjaro Queens imetwaa ubingwa wa soka Afrika Mashariki na kati Kwa wanawake (CECAFA WOMEN CHALLENGE)
Magoli ya Kilimanjaro Queens yaliwekwa kimiani na Mwanahamisi Omary na Stumai Abdallah.
Kilimanjaro Queens kwa kutwaa ubingwa huo imekua timu ya kwanza kutwaa ubingwa wa michuano hiyo ambayo mwaka huu ndiyo mara ya kwanza inafanyika.
Category: tanzania
0 comments