TIMU YA TAIFA YA WANAWAKE 'THE TANZANITE' YAKABIDHIWA BENDERA

Unknown | 10:16 PM | 0 comments



Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Wambura (wa pili kushoto), akimkabidhi bendera ya taifa nahodha wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania chini ya miaka 20 ‘The Tanzanite,’ Fatuma Issa. Tanzanite, inasafiri Jumatano kwenda Afrika Kusini kwa mechi ya marudiano dhidi ya timu ya taifa ya wasichana ya huko ‘Basetsana’ itakayopigwa Jumamosi Desemba 21. (Picha na Habari Mseto Blog) 

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments