SAN MARINO WAFUNGA GOLI LA KWANZA KATIKA MIAKA 5 - WASHANGILIA KAMA WAMETWAA UBINGWA WA DUNIA ... HII HAPA VIDEO YAO WAKISHANGILIA GOLI
Kwa
nchi inayoshika nafasi ya 207 kwa ubora wa viwango vya soka duniani
kama San Marino, soka la kimataifa ni jambo la kujifurahisha kwa kupata
nafasi ya kucheza na mstaa wa timu mbalimbali barani humo. Wiki
iliyopita, walifungwa 9-0 na Ukraine — matokeo mabovu kwa timu yoyote
ile, lakini ulikuwa ni kama mchezo mwingine kwa kikosi cha San Marino.
Wakielekea katika mchezo wa kugombea kufuzu kombe la dunia dhidi ya Poland, timu hiyo ilikuwa haijashinda mchezo wowote wa kugombea kwenda Brazil katika mechi 7 zilizopita huku wakiruhusu wao kuguswa mara 38. Wakati Poland walipofunga katika dakika ya 10, ilionekana ingekuwa kama kawaida, lakini katika dakika ya 22, San Marino walifunga bao lao la kwanza katika mechi ya mashindano ndani ya kipindi cha miaka 5. Goli la kichwa kutokana kwa mchezaji ambaye ni mhasibu wa benki Alessandro Della Valle.
Wakielekea katika mchezo wa kugombea kufuzu kombe la dunia dhidi ya Poland, timu hiyo ilikuwa haijashinda mchezo wowote wa kugombea kwenda Brazil katika mechi 7 zilizopita huku wakiruhusu wao kuguswa mara 38. Wakati Poland walipofunga katika dakika ya 10, ilionekana ingekuwa kama kawaida, lakini katika dakika ya 22, San Marino walifunga bao lao la kwanza katika mechi ya mashindano ndani ya kipindi cha miaka 5. Goli la kichwa kutokana kwa mchezaji ambaye ni mhasibu wa benki Alessandro Della Valle.
Mara
ya mwisho San Marino walifunga goli katika mchezo wa kimashindano
katika mchezo dhidi ya Slovakia mwaka 2008 katika harakati za kufuzu
kucheza kombe dunia dhidi ya Poland ambapo walifungwa 5-1, Poland.
Na
sasa timu ambayo inashika nafasi ya 205 Andorra inabaki kuwa ndio pekee
iliyocheza mechi 8 za kugombea kufuzu kwenda Brazil 2014 bila kufunga
bao.
Category: uingereza
0 comments