HII HAPA MICHOMO HATARI 10 ILIYOWATOKA MAKIPA NA KUOKOLEWA NA MABEKI

Unknown | 7:35 AM | 0 comments


Mtu wangu wa nguvu ambaye unapenda mchezo wa mpira wa miguu, naomba nikukutanisha na mashambulizi hatari ndani ya mchezo wa soka yaliofanikiwa kuokolewa dakika za mwisho na mabeki baada ya golikipa kupitwa, haya ni mashambulizi ambayo mabeki wameokoa katika position ambazo asilimia kubwa inaaminika kuwa mpira utaingia wavuni.


Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments