BARCA YAPIGA MOJA TU

Unknown | 11:41 PM | 0 comments


Generated by IJG JPEG Library

Klabu ya FC Barcelona imeshuka uwanjani kucheza mechi yake ya kwanza Ligi Kuu Hispania, FC Barcelona imeingia uwanjani kucheza na klabu ya Athletic Bilbao ikiwa ni wiki moja imepita toka ipokee kipigo kutoka kwa Athletic Bilbao katika mchezo wa Super Cup.
Generated by IJG JPEG Library
August 23 FC Barcelona imerudi kucheza mechi ya Ligi Kuu na Athletic Bilbao ila imefuta uteja wa kukosa ubingwa wa Super Cup ila katika mchezo wa Ligi Athletic Bilbao imekubali kipigo cha goli 1-0, goli pekee la dakika ya 54 kutoka kwa Luis Suarez liliwafanya FC Barcelona kuondoka na point 3 muhimu.
Generated by IJG JPEG Library
Generated by IJG JPEG Library
Generated by IJG JPEG Library
Generated by IJG JPEG Library
485015660
Generated by IJG JPEG Library
Generated by IJG JPEG Library
Video ya magoli

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments