TEVEZ NI NOMAA AISEEE ... APIGA MBILI JUVE IKIING'OA DORTMUND LIGI YA MABINGWA ULAYA
Carlos Teves ameng’ara na kupachika mabao mawili na kutoa pasi ya bao jingine kwa Alvaro Morata wakati Juventus ikishinda 3-0 ugenini dhidi ya Borussia Dortmund.
Juve sasa imefuzu hadi robo fainali kwa jumla ya mabao 5-1 baada ya ushindi wa 2-1 ikiwa ugenini.
Tevez ameonyesha kiwango cha juu katika mechi hiyo na kuiwezesha Juve kufuzu.
VIKOSI:
Borussia Dortmund: Weidenfeller, Papastathopoulos, Subotic, Hummels, Schmelzer, Kampl, Bender, Gundogan, Reus, Mkhitaryan, Aubameyang.
Subs: Langerak, Kehl, Kagawa, Blaszczykowski, Kirch, Immobile, Ramos.
Subs: Langerak, Kehl, Kagawa, Blaszczykowski, Kirch, Immobile, Ramos.
Juventus: Buffon, Lichtsteiner, Bonucci, Chiellini, Evra, Vidal, Marchisio, Pogba, Tevez, Pereyra, Morata.
Subs: Storari, Ogbonna, Barzagli, Pepe, Padoin, Llorente, Matri.
Subs: Storari, Ogbonna, Barzagli, Pepe, Padoin, Llorente, Matri.
Referee: Milorad Mazic (Serbia)
Category: uingereza
0 comments