MAN CITY YAANZA VIZURI LIGI KUU YA UINGEREZA
Kiungo wa Manchester City, David Silva akiifungia timu yake bao la kwanza katika dakika ya 39.
Patashika wakati wa mtanange huo.
Sergio Aguero akitupia kambani bao la pili la Manchester City katika dakika ya 90.
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya England 'Premiership', Manchester City leo wameanza vizuri msimu mpya kwa kutoa kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya Newcastle. Mabao ya mabingwa hao yamewekwa kimiani na David Silva dakika ya 39 na Sergio Aguero dakika ya 90 katika mechi hiyo iliyopigwa Uwanja wa St James' Park nchini
Category: uingereza
0 comments