MANCHESTER UNITED YAFUNGWA NA STOKE CITY 2-1 LEO
Mpaka mapumziko timu Stoke walikuwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya United huku mchezaji wao Phil Jones akiumia na kutolewa nje na nafasi yake kuchukuliwa na Danny Welbeck.
Kipindi cha pili dakika ya 47 United wanasawazisha kupitia kwa mshambuliaji wake Robin Van Persie.
Dakika ya 51 Adam akachia shuti kali lililompita mlinda mlango wa United De Gea na kutinga moja kwa moja hadi langoni na kufanya Stoke watangulie kwa bao 2-1.
Category: uingereza
0 comments