DE GEA, MATA WATAMBA TUZO ZA MAN UNITED

Unknown | 11:55 AM | 0 comments

                             

David de Gea (centre) arrives at the Manchester United end-of-season awards dressed in a smart black suit alongside team-mate Juan Mata

David de Gea (katikat) akiwasili katika tuzo za kufungia nsimu za Manchester United pamoja na mchezaji mwenzake, Juan Mata PICHA ZAIDI GONGA HAPA

TUZO ZA MANCHESTER UNITED NA WASHINDI WAKE 

Mchezaji Bora wa Mwaka wa U18: Axel Tuanzebe
Mchezaji Bora wa Mwakja wa U21: Andreas Pereira
Mchezaji Bora wa Msimu: David de Gea
Bao Bora la Msimu: Juan Mata v Liverpool
Mchezaji Bora wa Mwaka: David de Gea 
KIPA David de Gea anayetajwa kutaka kuhamia Real Madrid ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Manchester United usiku wa jana.
Na baada ya kupewa tuzo hiyo, kipa huyo wa zamani wa Atletico Madrid, ambaye Mkataba wake unamalizika mwakani, alisema: "Nataka kusema asanteni kwa wachezaji wenzangu, wamekuwa babu kubwa msimu huu na ninafikiri tuna chumba kizuri cha kubadilishia nguo. Nawapenda,".
Mchezaji mwenzake wa kimataifa wa Hispania, De Gea- Juan Mata ameshinda tuzo ya Bao Bora la Msimu alilofunga katika mechi dhidi ya Liverpool.

Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments