BARCELONA YAFIKISHA MABAO 100.

Unknown | 10:52 PM | 0 comments

 


 Kwa msimu wa tisa mfululizo klabu ya FC Barcelona hapo jana usiku ilifikisha jumla ya mabao 100 ya kufunga baada ya kuifunga Real Sociadad mabao 2-0 kwenye mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya kombe la mfalme.

wachezaji 15 tofauti wa timu hiyo wameshirikiana kufunga jumla ya hayo mabao huku,wachezaji 5 kati yao wakiwa tayari wameshafunga zaidi ya mabao 10.
 Leo Messi 19, Pedro 16, Alexis 15, Cesc 12 and Neymar Jr 11.



Share story hii kupitia>>>>>> :
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Category:

0 comments